Certificates and Rubber Stamps ready for collection at ERB DAR ES SALAAM OFFICE , contact +255715938638 and +255716030206
Mwenyekiti mteule wa Bodi ERB Prof. Bakari Mwinyiwiwa ametembelea Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL) leo, tarehe 15 Oktoba 2025, katika ofisi za shule hiyo zilizopo katika jengo la NHC ghorofa ya nne, Morogoro, ambazo pia ni ofisi za ERB mkoa wa Morogoro. Prof. Mwinyiwiwa alipokelewa Kaimu Msajili Wakili Mercy G. Jilala, alipata muda wa kukutana na wakuu wa idara na vitengo na kuwataka kuendelea kutekeleza majukumu yao ili kuwa na ufanisi wa shughuli za Bodi ikiwemo usimamizi wa kazi za kihandisi nchini.
NEW
Certificates and Rubber Stamps ready for collection at ERB DAR ES SALAAM OFFICE , contact +255715938638 and +255716030206
NEW
Mwenyekiti mteule wa Bodi ERB Prof. Bakari Mwinyiwiwa ametembelea Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL) leo, tarehe 15 Oktoba 2025, katika of