Certificates and Rubber Stamps ready for collection at ERB DAR ES SALAAM OFFICE , contact +255715938638 and +255656159987
Baadhi ya Mafundi sanifu walioshiriki katika mkutano wa nane (AETD 2026) wakiwa katika hifadhi ya taifa ya Mikumi wakifanya utalii wa ndani .
Safari hiyo imeandaliwa na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) ikiwa ni sehemu ya kutangaza shughuli za kihandisi kupitia treni ya Kisasa ya SGR pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Baadhi ya washiriki wamesema hatua hiyo ni muhimu kwa wao kujumuika kwa pamoja na kujenga marafiki wapya katika taaluma yao ambapo pia wamesema utalii huo unawapa pumziko baada ya kuwajibika katika miradi mbalimbali.
Certificates and Rubber Stamps ready for collection at ERB DAR ES SALAAM OFFICE , contact +255715938638 and +255656159987
Baadhi ya Mafundi sanifu walioshiriki katika mkutano wa nane (AETD 2026) wakiwa katika hifadhi ya taifa ya Mikumi wakifanya utalii wa ndani .
Serikali imesema itaendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) ili kuhakikisha sekta ya uhandisi na teknol